Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.انت هو صخر الرجاء Ыйса, Ыйса CHRIST RECEIVETH SINFUL MEN Presenza Сердца моего Царь อาณาจักรพระเจ้าไม่ใช่การกิน Сенинлейкен lyh tkẖwnny Nicidecum, nicidecum niciodata Čuj vrúcnu prosbu
Song not available - connect to internet to try again?