Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.My God, how wonderful Thou art 你是基督永生神的儿子 كۉچ بەرەسىڭ، چارچاسام مەن Любовь лишь войдет O Jésus, je t'aime Ry Jehovah Ray Tsitoha Отче, люблю, возношу Rəbb Allah gücüm-qüvvətim Hospodin dokoná za mě Esti necuprins si sfant
Song not available - connect to internet to try again?