Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.في وقت ضعفي Canta il mio cuore Jezus najwyższej godzien chwały مع يسوع ḥbyby fty̱ Keď Pán príde ʿạrfk msẖ qạdr trtạḥ روحك يرف Севгисизди Йюреим Tu que eres el Segnor
Song not available - connect to internet to try again?