Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Uomo fra gli uomini Аллахъм да бана رنموا لله قوتنا Kıeli Rýh kelshi bizge Tu scegli Barabba? Копнеж I'm so glad Jesus set me free Santo Santo Dios Poderoso Na Tvoj obraz sme boli stvorení Set Me on Fire
Song not available - connect to internet to try again?