Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Soltanto il mio Gesù Strápených únavou úprimne volá Гел Кутсал Рух, Кал арамъзда متشال جوه العين Hozzád vonzott a fény Nada me importa lo que dijeren Táruljatok fel, örök kapuk مثل الصخرة Qanchalar Xudoim kechiraman Мени Тозала
Song not available - connect to internet to try again?