Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.يا سيدي كم كان قاسيًا قراءة 1 Следуя за Богом Toate dorurile mele لولا يا ربي ما إنت معانا wèi fú yīn Pomôž mi, Pane láskavý Кудуреттүү Сен ыйыксың مزمور 46 ЩОМ СМЕ ЗАЕДНО
Song not available - connect to internet to try again?