Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.rby yswʿ ạlgẖạly ạ̉gẖsl ydy చిరకాల స్నేహితుడా Sen Узаттъм еллерими THAWNGTHA BIA DARKHING TUM TUAH Na Sami Ceto Ta Wurin Yesu Масихсиз мен хеч кимман Пробуди любовь Hatak pi̱ kana achukma fehna
Song not available - connect to internet to try again?