Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Dio è la tua forza О сакит Ҝөјлəрдəн ҝəлди белə хəбəр yạ ʿrys nfsy ạlgẖạly L'Eternel est ma part أنا أيضًا Қул Эмасман Мен Энди నేస్తమా ... నేస్తమా ... నేస్తమా Ravvediti There's Never Been A Day Come musica
Song not available - connect to internet to try again?