Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Padamu Kami Datang ạ̉ryd ạ̉n ạ̉ʿrf mạ fy qlbk FOR YOU AND FOR ME قۇتماندۇۇ قىرعىزىم إني أرى نفسي تغوص إكليلة مضفور Камил Аллаһым Father in heaven, how we love Pane Bože, zmocni nás Ry Tompoko malala, mpiandry tsara o
Song not available - connect to internet to try again?