Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.I am Небо на мене чекає بئز جولۇعابىز كۉنۉگۅ Az egész földön Koya mani addu’a, ya Ubangiji هيا يا شعب الله Keď divy tvojej moci zriem В ладонях Божьих في الأعماق Bir kun Xudo haqiqati, ayon boʻladi
Song not available - connect to internet to try again?