Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.ทุกสิ่งจึงเป็นไปได้ All Things are Possible Jeg sier Jesus هافرح بيك يا إلهي Aw Kalvari! Мой Господь я хочу чтобы в юности Kulak Ver Sesime Ялнъз гезердим, кендими билмездим Still Believe ПОКЛОНИ СЕ Heavenly sunshine
Song not available - connect to internet to try again?