Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Հավատում Եմ Քեզ Հիսուս Гэмийг үүрсэн Аврагч Эзэн ٴتاڭىرىم، راقىمىڭدى ەندى لم شعب المسيح La Tua gloria Find You on My Knees Mba iraho ny Fanahy ry Jesosy Tompo o! Storie di un albero Кутсал Танръ Курбанъ นี่คือเวลา
Song not available - connect to internet to try again?