Neno lako, Bwana, Ni imara sana; Lilo latwongoza, Lilo latufunza. Adui wabaya Wakikaribia, Neno lake Bwana Ni ulinzi sana. Siku za dhoruba Soma ukiomba; Neno lake Bwana Msaada sana. Ukiliamini, Hwenda na amani; Una na furaha Neno ni siraha. Ni furaha kweli, Na wingi wa mali, Neno lake Bwana Kwa wasiokana Neno la rehema, Tukali wazima; Faraja I papo, Tufarikanapo.Шел изнуренный под ношей креста Би Танд хайртай Худонинг қўлида O, wąska droga ta Keď na svete máme žiť Fenségednél nincs vonzóbb ماداقتاڭدار بالالار، قۇدايدى Keby som nemal Teba Wszystko tobie dziś oddaję hw ạllh
Song not available - connect to internet to try again?