Ni wako Mungu! Ni furaha kwangu, Ni raha kumjua mwokozi wangu. Aleluya enzi ndako; Aleluya,Amin. Aleluya,enzi ndako; Rejea Yesu. Mwana wa Mungu Ndiye fungu langu, Na moyo hufurahi kwa Yesu wangu. Raha ya kweli Ina jina hili, Na aliyeshika,ana Mbingu kweli. Nimeingia Mapendano haya, Nimepata uzima na Mbingu pia. Nilipo chini, Ni mwako kazini Hata nije kwako uliko Mbinguni.يا يسوع يا غالي بص علي tʿlyq 6 - ạ̉ṭfạl byḥbwạ mṣr Hazme avanzar ليَّ أصحاب تەڭىرىم ايادىڭبى جۉرۅگۉمدۉ ดวงใจของข้า Mym pragnieniem ألا تعود فتحيينا Ой над Віфлеємом Көктемде, көктемде
Song not available - connect to internet to try again?