Ni wako Mungu! Ni furaha kwangu, Ni raha kumjua mwokozi wangu. Aleluya enzi ndako; Aleluya,Amin. Aleluya,enzi ndako; Rejea Yesu. Mwana wa Mungu Ndiye fungu langu, Na moyo hufurahi kwa Yesu wangu. Raha ya kweli Ina jina hili, Na aliyeshika,ana Mbingu kweli. Nimeingia Mapendano haya, Nimepata uzima na Mbingu pia. Nilipo chini, Ni mwako kazini Hata nije kwako uliko Mbinguni.ด้วยมือที่ข้าชูขึ้น Ийи ки Додун Иса Víc už nejsem otrokem (test) Aj keby nekvitol fík Ein neuer Tag bricht an Господь наш воскрес เพื่อน و اسمانداعى اتابىز! ạlly ṣạnʿny hw Immagini
Song not available - connect to internet to try again?