Ni wako Mungu! Ni furaha kwangu, Ni raha kumjua mwokozi wangu. Aleluya enzi ndako; Aleluya,Amin. Aleluya,enzi ndako; Rejea Yesu. Mwana wa Mungu Ndiye fungu langu, Na moyo hufurahi kwa Yesu wangu. Raha ya kweli Ina jina hili, Na aliyeshika,ana Mbingu kweli. Nimeingia Mapendano haya, Nimepata uzima na Mbingu pia. Nilipo chini, Ni mwako kazini Hata nije kwako uliko Mbinguni.Бо Дитя родилось нам Veniţi cântaţi bunătatea Lui Len milosťou môžme vstúpiť نفسي تعظم الرب إلهي Sei il più forte hǎo shí guāng Te vagy, Uram Ježiš, Ty si ma poznal Naendea Msalaba Takkah Patut Ku Bernyanyi
Song not available - connect to internet to try again?