Ni wako wewe, nimekujua, Na umeniambia; Lakini Bwana, nataka kwako nizidi kusongea. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Sana, kwako mtini. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Kwa damu ya thamani. Niweke sasa nikatumike Kwa nguvu za neema; Uyapendayo nami nipende, Nizidi kukwandama. Nina furaha tele kila saa Nizungumzavyo kwako, Nikuombapo nami napata kujua nia yako. Mapenzi yako hayapimiki, Ila ng'ambo ya liko. Anasa pia sitazijua, Bila kufika kwako.Unde sunt mari bucurii poporul se strânge Я живу Христом يا رافعًا Иисус моя нежность Раб, Сенинлейим.. Вдали от Бога я блуждал فلنفرح به قۇدايدىڭ سۇيىسپەنشىلىگى ạllh byḥbny wsṭ ạlkwn
Song not available - connect to internet to try again?