Ni wako wewe, nimekujua, Na umeniambia; Lakini Bwana, nataka kwako nizidi kusongea. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Sana, kwako mtini. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Kwa damu ya thamani. Niweke sasa nikatumike Kwa nguvu za neema; Uyapendayo nami nipende, Nizidi kukwandama. Nina furaha tele kila saa Nizungumzavyo kwako, Nikuombapo nami napata kujua nia yako. Mapenzi yako hayapimiki, Ila ng'ambo ya liko. Anasa pia sitazijua, Bila kufika kwako.Regarde, âme angoissée AT THE CROSS sạ̉lt nfsy ạ̉nạ ạlsẖqy Czemuż dusza twoja نعظم اسم يسوع yạ ṣạḥb ạlḥnạn yạ mljạ̉ nfsy̱ నేను వెళ్ళే మార్గము rby nwr bnwrk mʿ sẖrwq ạlsẖms ارفعني الآن نحوك
Song not available - connect to internet to try again?