Ni wako wewe, nimekujua, Na umeniambia; Lakini Bwana, nataka kwako nizidi kusongea. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Sana, kwako mtini. Bwana vuta, vuta, nije nisongee, Kwa damu ya thamani. Niweke sasa nikatumike Kwa nguvu za neema; Uyapendayo nami nipende, Nizidi kukwandama. Nina furaha tele kila saa Nizungumzavyo kwako, Nikuombapo nami napata kujua nia yako. Mapenzi yako hayapimiki, Ila ng'ambo ya liko. Anasa pia sitazijua, Bila kufika kwako.มาเรามาบรรเลง Ризамын 神哪求你坚固我们的手 Боже славим мы Тебя Oi, kuinka ihana Sənə məğnəmi bəxş edirəm mn ạ̉nạ yạrb ltdẖkrny̱ jǔ mù zhǐ jiàn yé sū Der vandrer en i Judeas land เราเป็นพระเจ้า I Am The God
Song not available - connect to internet to try again?