Sauti sikilizeni Za waimbao juu, 'Aleluya, Aleluya, Aleluya, mkuu!' Wako makundi-makundi Kama nyota wang'ara, Kwa makuti ya mitende, Na meupe wamevaa. Wazazi na manabii Wafanyaji wa njia; Mashahidi, waandishi, Nao wafalme pia! Mabikira kina-mama, Wajane wa kusali, Waimba wakikutana 'Msifunu Imanweli'. Watu toka huzunini Wameosha na nguo, Ni kwa damu yake Yesu; Maonjo, mbali nao! Walitekwa, walikatwa Hata kwa misumeno, Kwao kifo na shetani Walishindiwa mno. Mungu mumo mwake Mungu, Nuru mumu mwa nuru, Kwa kufungamana mwako Tutaishi mahuru; Tujalize, Imanweli, Kujaa kwako wewe Mungu Baba, Mungu Mwana, Mungu Roho, tunawe.Aby sme vždy jedno boli tʿlyq Por mí en la cruenta cruz nǐ shì wǒ yī shēng de yún zhù huǒ zhù هوذا إلهنا Oh Yes, I'm A Child Of The King К престолу я Всевышнего swf ymsḥ rby ạldmwʿ Nesieme Pane chlieb a víno Tu ne-ai fost tărie-n vreme de nevoi
Song not available - connect to internet to try again?