Si damu ya nyama Iliyomwagika Iwezayo kuondoa Dhambi za wakosa. Yeye Bwana Yesu Sadaka ya Mungu, Mwenye damu ya thamani, Ni mwokozi kweli. Kwa imani yangu, Namshika yeye, Naziweka dhambi zangu Juu ya kichwa chake. Mzigo wa dhambi Sichukui tena, Ameuchukua yeye, Juu ya msalaba. Bwana Yesu ndiye, Mwokozi wa kweli Tumsifu siku zote, Twapata uhuru.Я восхищаюсь Тобой, Бог мой Yo Te Bendigo جۇرەگىمنىڭ كوزىن اش نفسي تعظم Stern, auf den ich schaue How Firm A Foundation ᠪᠦᠭᠦᠳᠡ ᠶᠢ ᠪᠠᠶᠢᠯᠳᠤᠨ ᠳᠠᠭᠠᠭᠤᠯᠵᠤ Di Langit Berkilauan Bintang Сен мениң гүйҗүм әхли затда ليك السجود
Song not available - connect to internet to try again?