Si damu ya nyama Iliyomwagika Iwezayo kuondoa Dhambi za wakosa. Yeye Bwana Yesu Sadaka ya Mungu, Mwenye damu ya thamani, Ni mwokozi kweli. Kwa imani yangu, Namshika yeye, Naziweka dhambi zangu Juu ya kichwa chake. Mzigo wa dhambi Sichukui tena, Ameuchukua yeye, Juu ya msalaba. Bwana Yesu ndiye, Mwokozi wa kweli Tumsifu siku zote, Twapata uhuru.Ty si, Pane v každom chráme Ya Uba Na Cikin Sama, Ina Roƙonka Jericho Весь мир уснул глубоким сном, Övülmeye, tapılmaya Uitstap: Die SeëN Она гювенийом, умудум беним О ṣh ṣh ṣmwỷyl The tomb now is empty 辽阔的草原
Song not available - connect to internet to try again?