Twae wangu uzima, Sadaka ya daima; Twae saa na siku, Zikutukuze huku. Twae mikono nayo Ifanye upendavyo, Twae yangu miguu Kwa wongozi wako tu. Twae sauti yangu, Niimbe kwa Mungu tu; Itwae na midomo, Ijae neno lako. Twae dhanabu pia, Na yote ya dunia; Twae yangu hekima, Upendavyo tumia. Nia itwae, Mungu, Haitakuwa yangu; Twae moyo; ni wako, Uwe makazi yako. Twae mapenzi yangu, Sifa za moyo wangu; Twae kabisa nafsi Nniwe wako halisi.ربي حبيبي وصى وصية Höher Я грущу надо мной беззакония тьма Хəјалым Доланыр У бизни ҳимоя қилар Magnificat Бен сьоз етмеден, бени езгилерле джоштун إنت هدف أهداف العمر Поклонюсь Тебе Otče, zjednoť nás
Song not available - connect to internet to try again?