Twasoma, ni njema sana Mbinguni, kwa Bwana; Twasoma, dhambi hapana, Mbinguni kwa Bwana; Malaika wema wako, Vinanda vizuri viko, Na majumba tele yako, Mbinguni kwa Bwana. Siku zote ni mchana, Ni nchi ya raha; Wala machozi hapana, Ni nchi ya raha; Walioko wanuona Uso wa Mwokozi, tena Jua jingine hapana, Ni nchi ya raha. Nyama na vitu viovu Havimo kabisa; Kifo nacho, na ubovu, Havimo kabisa. Ni watakatifu wote, Wameoshwa dhambi zote; Wasiosafiwa wote Hawamo kabisa. Tuna dhambi, pia sote, Mwokozi akafa; Kwake tutaoshwa zote, Mwokozi akafa; Kwake twapata wokovu, Tutawona utukufu; Mbinguni tutamsifu; Mwokozi akafa. Baba, mama, ndugu zetu, Twendeni kwa Bwana; Huku chini sio kwetu, Twendeni kwa Bwana; Tusishikwe na dunia, Na dhambi kutulemea; Tutupe vya chini pia, Twendeni kwa Bwana.Одӥг Инмарлы Сӥ-Сан Datanglah, Ya Yesus Haleluya! Amin! Iemizdi madaqtańdar! كىم جاراتتى ٴبارىن؟ O Little Town of Bethlehem Ó, skloň sa z nebies výsosti, čuj dietok túžby, žiadosti, Ty Spasiteľ náš Ježiši, Ty Priateľ dietok najlepší Lettera సిలువలో బలి అయిన దేవుని గొర్రెపిల్ల MAIS TOI, MON ROI, MON BOUCLIER
Song not available - connect to internet to try again?