Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.هَمبِزا تَه مش بيتنا رِبّه سِسلِن Debout, sainte cohorte Плачет душа между Раем и адом سأسبح وأبارك وأرنم للرب bạlạ̹ymạn hạnʿysẖ wnṣdq Un raudal de bendiciones yáo wàng dà lù فوق السحاب
Song not available - connect to internet to try again?