Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Merci Muqaddasdirsan, Xudo حبك يملا القلوب Своим грехом своим деяньем mhmạ ykwn ạldẖnb kbyr تشتاق نفسي Dora prin crucea Ta mareata Pán Ježiš je láska Glory Faith of a Mustard Seed
Song not available - connect to internet to try again?