Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.yạ rb kl ạlkwn ysẖhd lṣnyʿk قۇبانىپ شاتتانعىن تەڭىردىن ىسمىندا I was a prisoner, till You broke the door down Нурингни сочиб бу оламга келдинг Неземная мечта ياللى تعبت من الأحزان Ek het U lief o Heer Миннатдорман мен Сендан Ты мой мир мой покой Бид бүгдээрээ
Song not available - connect to internet to try again?