Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Dziecino Boża, cicho cierp Tégy engem tisztává Engrandecido Sea Dios NANG CA KEIMAH KA THI Jeso, Vatolampinay Алтарь All Things New Elohim اجعلك فخراً ابدياً Әзəмəтлисəн
Song not available - connect to internet to try again?