Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Ты идешь к святой Отчизне Хвалете Царя Аліллуйя تسبيحي وترنيمي Ялнъз Сен, Я Раб Тәңірім құрбан бәрі үшін تحت ظلك mn ạlnhạrdẗ تاڭ اتقاننان سەنى حي للأبد
Song not available - connect to internet to try again?