Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Cant Aleluia Tu sei così grande لإله خلاصي باهتف Две тысячи лет назад يسا ريزامىن يسوع في البدء Rauhaton ihmissielu tʿlyq 2 Rehefa vita ny asako ety تىڭداشى مەنى، ٴتاڭىرىم مەنىڭ
Song not available - connect to internet to try again?