Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.What the World Will Never Take Merci Sunt un bulgăraş prea mic ymknny ạ̉n ạ̉zʿl ạlrb yhwh ạ̹lhy Я не герой Kıeli Áke Kráľovi kráľov a Pánovi pánov sláva ال باارىن جەڭدى Ježiš Kristus, Spasiteľ náš
Song not available - connect to internet to try again?