Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.He knows my name Agnus Dei Унутма Раб'бин Ийиликлерини నేనున్న స్థితిలోనే సంతృప్తిని bdy ạfhm fhmny Spre ţara luminii eterne Mária, igaz leány عارفنى Плачет Ангел ఊహించలేని మేలులతో నింపినా
Song not available - connect to internet to try again?