Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.أنا عايش أنت جوه القلب ساكن bạrfʿ ạsm ạ̹lhy 至死顺服像羔羊 АЛБАТЫМДЫ, КУДАЙ, СЕН КӦРЗӦҤ Силы притяжения больше нет Such an Awesome God The shout of el shaddai Ojcze Światła Душистый хлеб
Song not available - connect to internet to try again?