Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.إن عشيت ليلي الهموم Alors que l'aube enlève Canta Alleluia Nati per dare gloria Cenneti keybon okarde Én Uram, én Istenem Doen slegs U wil Heer Спасибо родителям за ласку Де Халелуя Иса'я Non, rien en ma personne
Song not available - connect to internet to try again?