Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Знаю я Два сердца забились в груди Lejos fui del santo Dios ЧҮНҮҢ КҮЖҮ? أريدُ المزيد أحبك لأنك أحببت أولًا Debout, sainte cohorte Хай ваша нива This Is Our God عيسى تۇ مْن قَبوول كَه
Song not available - connect to internet to try again?