Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Perché ti rattristi o mio cuor? RALKAP HLA Rahmet Saǵan Isa yswʿ ạlsẖạfy̱ Сен wryny̱ ạlmjd أنا ملك الفادي Eespäin, Herran kansa Boundary Lines Таны нэр ариунаар дурсагдаг
Song not available - connect to internet to try again?