Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.Credo Soli Víťaz nad smrťou slávne z hrobu vstal, večnú Božiu slávu mocne zvestoval Всем умом всем помышлением Бог сильный! Бог чудотворный! Nevesta Оз Қолди mwsyqy̱ Ходайның Рәсуле туды Sono qui
Song not available - connect to internet to try again?