Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza, 'Nawaletea habari Ya kuwapendeza.' 'Mji ule wa Daudi Leo amezawa Mwokozi ni Kristo Bwana, Ilivyoandikwa.' 'Huyo mwana wa Mbinguni Ataonekana, Amelazwa kihorini Malazi hapana.' Alipokwisha yanena Malaika hao Waliimba wimbo huu Usio na mwisho: 'Enzi ni yake Mungu juu, Na nchi salama, Kwa watu nao radhi kuu, Sasa na daima'.tsbyḥ bʿd ạlkẖdmẗ - bybw tyjy ạlmrạḥm fy ạlnhạr Ким, Сени севгингдан О, как Бог любит нас! Minnətdaram Sənə varlığına nsẖyd ạlṣlyb Con tutto il mio cuor Herren skal stride for dere Sən niyə yubanırsan? İsa Məsihin səsi KAN PUPA ZUMHNAK
Song not available - connect to internet to try again?