Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Je neema yake umemwagiwa, Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo; Ziwe safi nguo nyeupe mno; Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Wamwandama daima mkombozi Na kuoshwa na damu ya kondoo? Yako kwa msulubiwa makazi, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Atakapokuja Bwana -arusi Uwe safi kwa damu ya kondoo! Yafae kwenda mbinguni mavazi Yafuliwe kwa damu ya kondoo. Yatupwe yaliyo na takataka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo. Huoni kijito chatiririka Na uoshwe kwa damu ya kondoo?rby wʿdny Вӧсяськонэ вӧсяськонэ Я кажу да Госпада fwq tl bʿyd ạ̉nạ mḥtạj ạ̉tgẖṭy̱ bdmk tʿạly̱ yạ rb brwḥk - mwsyqy Башлангъчта сьоз вардъ СЪЖИВЕН أنا الحقير Йюджедир Иса'нън Адъ; Седжде Етсин Дюня!
Song not available - connect to internet to try again?