Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Je neema yake umemwagiwa, Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo; Ziwe safi nguo nyeupe mno; Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Wamwandama daima mkombozi Na kuoshwa na damu ya kondoo? Yako kwa msulubiwa makazi, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Atakapokuja Bwana -arusi Uwe safi kwa damu ya kondoo! Yafae kwenda mbinguni mavazi Yafuliwe kwa damu ya kondoo. Yatupwe yaliyo na takataka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo. Huoni kijito chatiririka Na uoshwe kwa damu ya kondoo?Ломи днес хляба, Ти Kráľovná buď pozdravená, ó Mária, neba Рəбдə олан севинҹ тапар ạ̹ny ạ̉ḥb ạlrb Neľutujem Liturgia - Psalm La parte migliore ىيسا ۅزگۅرگۅن جوق Jeg vil takke Jesus. شىلدىراپ اعىپ سۇۇ تىنباي
Song not available - connect to internet to try again?