Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Je neema yake umemwagiwa, Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo; Ziwe safi nguo nyeupe mno; Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Wamwandama daima mkombozi Na kuoshwa na damu ya kondoo? Yako kwa msulubiwa makazi, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Atakapokuja Bwana -arusi Uwe safi kwa damu ya kondoo! Yafae kwenda mbinguni mavazi Yafuliwe kwa damu ya kondoo. Yatupwe yaliyo na takataka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo. Huoni kijito chatiririka Na uoshwe kwa damu ya kondoo?Söyləyirəm, dinlə məni, böyük Rəbbim sevgisini Тишина одиночество полночь ادوناي سەنىن ىسىمىڭ Barmherzigkeit hat uns Gott gezeigt ṭạyr fwq ạlmrtfʿạt Вёрсты Э, Худо Сен билан турмушим абод 01 В теле душа как бумага в конверте Ду дасти ҳақ дили покиза Вəтəним бура дејил мəним
Song not available - connect to internet to try again?