Yesu kwa imani, Nakutumaini, Peke yako; Nisikie sasa, Na kunitakasa, Ni wako kabisa Tangu leo. Nipe nguvu pia Za kusaidia Moyo wangu; Ulikufa wewe, Wokovu nipewe Nakupenda wewe, Bwana wangu. Hapa nazunguka Katika mashaka, Na matata; Palipo na giza Utaniongoza Hivi nitaweza Kufuata. Takuwa mzima Nivushe salama Mautini; Sina hofu kamwe Ukiwapo name Nami nikwandame Siku zote.قوي سياقتى Шодлик Бўлсин Pataka Raja MajuLah الابصاليه Иса'нън Исми Йюджелтилсин E tu ci pensi Libero yé hé huá zài quán de zuò wáng Еще немного лет rby ậjʿl
Song not available - connect to internet to try again?