Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Jak zwycięsko kroczy Jezus Astept cu dor aceea zi Чи думав ти Cerco te Muž, čo v bázni Božej stojí, blažený je a v pokoji wḥdy ạwạjẗ ạlhmwm Yesu Mai Ceto, Ni Ya Ke So О, Боже, в името Твое أنتظري الرب يا نفسي На нашия Бог слава чест
Song not available - connect to internet to try again?