Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Yaratdın insanı böyük məhəbbətlə В доме любящих Меня, меня били и распяли. ьовгю ве йюджелик иса'я Isa Ýeňiji Úsvit sa blíži Твоя Любов ٴماريام ٴبىلدىڭ بە Qoryqpa, endi sen jalǵyz emessiń ХОДЯ СМЕЛО Мўъжиза бўлди
Song not available - connect to internet to try again?