Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.por que ele vive А в небесах Божий престол Jezus - wychwalajmy Go 主啊听说你快回来了 Світи зірко Віфлеємська Меня позвали па рам пам пам пам fèng xiàn To nie chmury bracia, zawisnęły Grazie Dio أنت جوه القلب ساكن
Song not available - connect to internet to try again?