Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.В розовом царстве далекого детства Әйса Мәсиһ Ниҗаткар Alqış Sənə, Rəbbimiz! La bontà del Signor Ya Rab, Tövbe Ettim Diye Sana Söyledim رِبّی بِیگِلدیَرین ạ̉nạ mn sbạny యేసు ప్రభు నీ చరణం Нодон Фарзанд ạ̉ʿbdk
Song not available - connect to internet to try again?