Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.ให้พระสิริพระองค์เทบนพวกเรา Let the weight of your glory fall Még többet Как Бога любовь велика Vieni o fonte benedetta جايقالات ەگىن تالااسى Не прощайся Eu n-am ce-ţi da Isuse sunt săracă nạ̉ty ạ̹ly̱ qds ạlạ̉qdạs Ó Bože, Pane náš z vysokosti Solo l'amore
Song not available - connect to internet to try again?