Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Аллилуйя (Божественное вдохновение) ạmtlk ạlạ̉yạm ạljạyẗ Înaintea Mielului curând vom sta Myöhäisessä sydänyössä ثابت قلبي ئازاد قىلدىڭ Ånd fra himlen kom med nåde Приди Дух Святой Возьми меня отныне أجثو لك يا سيدي
Song not available - connect to internet to try again?