Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.ạ̉nạ msẖ wḥyd Oare la usa cine-i kạn mrẗ Il nome mio hllwyạ ạ̉nạ gẖạly King of Glory Všechno zajisté, co se narodilo z Boha يا عجيبًا Эль Шаддай, Эль Шаддай Воспоминание
Song not available - connect to internet to try again?