Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Припаду к Твоим ногам مش ممكن يرتاح قلبك ạ̉nạ frḥạn Seigneur, attire ʿạyzynk ạ̹nt wḥdk A tu mandato obediente Мени оршээ Мюжде Бу: Раб Тебя так люблю я Cirkev je chrámom na skale
Song not available - connect to internet to try again?