Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.أجهل ما سوف يأتي سر خطير Astept o zi, măreață zi Duszo, nie lękaj się, lecz wierz Buyuk nom Gunohkor qalbimga kelding sr bwjhk ạ̉mạmy yạ yswʿ ạnt ạlly̱ ly̱ ОБНОВИ НИ ДНЕС Kto spoznal dieťa?
Song not available - connect to internet to try again?