Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Hearts Unbound Расскажи Богу Hamisha Qalbimda Небо нам открыто и благодать Бог нам дал Nech ten chrám سيد يا رب علينا Их Эзэнээ юунаас ч илүүгээр píng ān dì xiōng Jesteś Królem Я нашел такую Любовь
Song not available - connect to internet to try again?