Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Одно лишь слово на устах Auprès de Dieu ГОСПОДИ ТИ ОТВОРИ В МЕН МОЕ ПРИБЕЖИЩЕ Rachel Sular sənin sirrini əbədi qoruyacaq Яшамъмън Танръсъ كل يوم جديد СВОБОДА ạqtrb
Song not available - connect to internet to try again?