Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia. Haifai kufa moyo, Dua atasikia Hakuna mwingine mwema Wa kutuhurumia; Atujua tu dhaifu; Maombi asikia. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kuendelea, Ujapodharauliwa Ujaporushwa pia, Watu wange kudharau, Wapendao dunia, Hukwambata mikononi, Dua atasikia.Your Love Kynçylyklaryň içinde يا يسوع أنت على الصليب You're an Eagle Veď mě stále blíž Их Эзэнээс зугтан bgẖny̱ wtsbyḥ Jesús nazareno, clavado en la cruz Eu nu sunt de pe pamant Кыдзи верма ме
Song not available - connect to internet to try again?