Yesu nakupenda, U mali yangu, Anasa na dhambi sitaki kwangu; Na Mwokozi aliyeniokoa, Sasa nakupenda, kuzidi pia. Moyo umejaa mapenzi tele Kwa vile ulivyonipenda mbele, Uhai wako ukanitolea Sasa nakupenda, kuzidi pia. Ulipoangikwa Msalabani Tusamehewe tulio dhambini; Taji ya miiba uliyoivaa, Sasa nakupenda, kuzidi pia. Niwapo hai, niwapo maiti, Kupendana nawe kamwe siachi; Hari za kifo zikinienea, Sasa nakupenda, kuzidi pia. Mawanda mazuri, na masikani Niyatazamapo huko Mbinguni, Tasema na taji nitakayovaa Sasa nakupenda, kuzidi pia.Мы победу Бога воспоем Хаккъмъ Арамам Intr-un staul mic la o margine de sat Let Children Hear The Mighty Deeds Unutma Yüreğim Свет во тьме أنا لست جندي lạ̹lhnạ bnʿd ṭryq Твърдиня силна е Bojovník
Song not available - connect to internet to try again?