Yesu zama Bethilehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi; Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Yesu akafa msalabani, Kuniponya akalipa deni, Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi! Kunifia mimi! Kunifia mimi! Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi. Ni yeye huyo tangu asili; Na nilipotanga-tanga mbali Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi. Kuniita mimi; Kuniita mimi; Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi Yesu kristo atarudi tena, Hilo lanifurahisha sana. Yeye Bwana akionekana Kunijia mimi. Kunijia mimi, kunijia mimi, Yeye Bwana akionekana Kunijia mimiكنت أتمنى أي هَموو مْلَتان 我已经立定心志 قۇشاعىڭا Sláva našemu Pánu tʿạl ạ̹lyh كل يوم تحت صليبك Aldanba ạ̉nạ ḥạss Веточка
Song not available - connect to internet to try again?