Yesu zama Bethilehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi; Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Yesu akafa msalabani, Kuniponya akalipa deni, Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi! Kunifia mimi! Kunifia mimi! Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi. Ni yeye huyo tangu asili; Na nilipotanga-tanga mbali Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi. Kuniita mimi; Kuniita mimi; Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi Yesu kristo atarudi tena, Hilo lanifurahisha sana. Yeye Bwana akionekana Kunijia mimi. Kunijia mimi, kunijia mimi, Yeye Bwana akionekana Kunijia mimiท่านเป็นพระวิหารของพระวิญญาณ Gesù calma la tempesta Dov'è che volerò? Прекрасный гимн нам Аввакум оставил Свобода Вокруг Тебя буря أنا في قلبك Kim Rabbimizdek Сенсан In umblarea mea prin lume
Song not available - connect to internet to try again?