Yesu zama Bethilehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi; Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Yesu akafa msalabani, Kuniponya akalipa deni, Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi! Kunifia mimi! Kunifia mimi! Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi. Ni yeye huyo tangu asili; Na nilipotanga-tanga mbali Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi. Kuniita mimi; Kuniita mimi; Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi Yesu kristo atarudi tena, Hilo lanifurahisha sana. Yeye Bwana akionekana Kunijia mimi. Kunijia mimi, kunijia mimi, Yeye Bwana akionekana Kunijia mimi主为我而死 Их Эзэний оршихуйн өмнө Вот с тимпанами в руках Молитва за друзей Det er Ditt Blod som renser meg ạ̉sẖwạk ạlṭryq Ъшък Бабасъ, Севинирсин Чоджукларънла مخلصي ṣh ṣh ṣmwỷyl О кто поверит
Song not available - connect to internet to try again?