Yesu zama Bethilehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi; Ndiye mwokozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Yesu akafa msalabani, Kuniponya akalipa deni, Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi! Kunifia mimi! Kunifia mimi! Ni la ajabu ya jinsi gani Kunifia mimi. Ni yeye huyo tangu asili; Na nilipotanga-tanga mbali Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi. Kuniita mimi; Kuniita mimi; Alikuja kwa upole, kweli Kuniita mimi Yesu kristo atarudi tena, Hilo lanifurahisha sana. Yeye Bwana akionekana Kunijia mimi. Kunijia mimi, kunijia mimi, Yeye Bwana akionekana Kunijia mimiwǒ tīng dào le yuǎn fāng de hū shēng Holy holy holy are You Lord Namwandama Bwana Я к Тебе иду в Твой небесный дом 这是我的心愿 kẖlạṣ ạkẖdt qrạry إني أرى نفسي تغوص Ry Jesosy o! indreto Yesu Na Naɗe Ka Sarkina Over all the earth Lord reign in me
Song not available - connect to internet to try again?