Aliteswa, aliteswa, Msalabani Yesu aliteswa, Dhambi zangu ameziondoa, Mahali pangu aliumizwa. Alikufa, alikufa, Msalabani Yesu alikufa, Kwa kifo chake nakombolewa, Kwa kuwa Yesu alinifia. 'Kafufuka, 'kafufuka, Kaburini Yesu alitoka, Nami nimewekwa huru pia, kwa kuwa Yesu alifufuka. Yuko hai, yuko hai, Mbinguni anaishi Mwombezi, Daima huniombea mimi, Kwa kuwa Yesu adumu hai. Atarudi, atarudi, Siku moja Yesu atarudi, Na tutamwonapo tutafurahi, Kwa kupelekwa kwake Mbinguni. Sifa kwake, sifa kwake, Mbinguni na huimbwa milele, Kwa furaha, masifu, na shangwe, Tutamwimbia Yesu milele.Играй моя скрипка, играй ạlqlb kfạyth wạḥd zhè shì yī gè shú zuì de rì zi Arxam mənim, dayağım mənim Čas radosti, veselosti Korkma, Korkma Diyor Tanrı ساعا كەلەمىن مەن Yo soy tu Dios, yo no te dejo ياللي بتحبني Ҝүнəс кими
Song not available - connect to internet to try again?