Aliteswa, aliteswa, Msalabani Yesu aliteswa, Dhambi zangu ameziondoa, Mahali pangu aliumizwa. Alikufa, alikufa, Msalabani Yesu alikufa, Kwa kifo chake nakombolewa, Kwa kuwa Yesu alinifia. 'Kafufuka, 'kafufuka, Kaburini Yesu alitoka, Nami nimewekwa huru pia, kwa kuwa Yesu alifufuka. Yuko hai, yuko hai, Mbinguni anaishi Mwombezi, Daima huniombea mimi, Kwa kuwa Yesu adumu hai. Atarudi, atarudi, Siku moja Yesu atarudi, Na tutamwonapo tutafurahi, Kwa kupelekwa kwake Mbinguni. Sifa kwake, sifa kwake, Mbinguni na huimbwa milele, Kwa furaha, masifu, na shangwe, Tutamwimbia Yesu milele.Cuando Anuncie El Arcangel 总有一条路把我们相连 Můj Ježíš mé je světlo Ti loderemo noi 나의 가장 낮은 마음 Din tesuturi nevăzute ЯШАМА ДАВЕТЛЪСЪН 人生好虚空 Mesih Dünyamıza İndi ئەيسا، ئەيسا مەسىھ خۇدانىڭ يول، ھامان
Song not available - connect to internet to try again?