Aliteswa, aliteswa, Msalabani Yesu aliteswa, Dhambi zangu ameziondoa, Mahali pangu aliumizwa. Alikufa, alikufa, Msalabani Yesu alikufa, Kwa kifo chake nakombolewa, Kwa kuwa Yesu alinifia. 'Kafufuka, 'kafufuka, Kaburini Yesu alitoka, Nami nimewekwa huru pia, kwa kuwa Yesu alifufuka. Yuko hai, yuko hai, Mbinguni anaishi Mwombezi, Daima huniombea mimi, Kwa kuwa Yesu adumu hai. Atarudi, atarudi, Siku moja Yesu atarudi, Na tutamwonapo tutafurahi, Kwa kupelekwa kwake Mbinguni. Sifa kwake, sifa kwake, Mbinguni na huimbwa milele, Kwa furaha, masifu, na shangwe, Tutamwimbia Yesu milele.Тебе душа поёт 영광을 돌리세 ٴومىرىمدى ساعان ارنادىم تفتح يدك فتشبع Tu sei Dio Хошбəхтлик арзуларыг аилə һəјатында Sláva Tebe, Hospodine lạ ymkn ạ̉bdaⁿạ ạ̉stạhl أحبك يا قوتي zhōng guó de zǎo chén wǔ diǎn zhōng
Song not available - connect to internet to try again?