Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.الىستا ۇقمۇش شاار جارقىرايت Jericho О сердце громко воспевай تآمل 1 - إتفتحى يا أبواب Хэрхэн тулалдахаа бид мэднэ Mio Gesù meraviglioso sei و قۇدايىم Хайди Тапънън Vrai, vrai, vrai Slovenská modlitba
Song not available - connect to internet to try again?