Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.عايزينك Ga Allah Kaɗai, Mahiliccinmu Снова осень пришла и в наш край Ғалаба Котькуд адями лыктэ та дуннее Йюреклерде, Сонсуз Алев bạlạ̹ymạn ạ̉nạ ʿạysẖ lyk Халлелүяа Lili Pak Lunna Gam frḥt qlby ywm
Song not available - connect to internet to try again?