Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Только Ты охраняешь меня Si večný Boh mtwjuⁿ ạ̉ḥtạj ạ̹lyk За Христовата длан Ние сме тук Я с тобою хочу о любви говорить مسيحي حلو ويتحب Venid cantad a Dios Яку дую сею чор
Song not available - connect to internet to try again?