Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Moja múdrosť Le Tout-Puissant est mon Berger 강한 용사 ربي قد صرت شفاني يا أحباب أورشليم انت يسوع ذو الجلال ʿm bykbr bṭnhạ Творенья Божьи на земле на высоте ạ̹lyk ạ̹ny sạỷḥạ
Song not available - connect to internet to try again?