Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Bana Karşı Merhametli Ol Rabbim أمور الله عجيبة Heaven Song Бен Бен Беним I've Found Jesus Ó, nech sa všetci svä-tí radujú zas Őt áldjuk dmạw̉k ạlty jrt قلبك حنين ạ̉rjwk yạ ạbny tʿạl
Song not available - connect to internet to try again?