Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Po zwycięskim boju chwały msẖyỷtk qdạm ṣfạtk ىسىمى تەڭىر، جاراتۇۇچۇ تەڭىر Saodatli odamdir Zion's Daughter Муқаддас Руҳим, Яқинлаштир Худога бизни Oh Gloria Oh yo quiero andar con Cristo ạ̹n ạlạ̉sẖbạl ạ̹ḥtạjt
Song not available - connect to internet to try again?