Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.İsmin Ne Yüce The Joy of The Lord Hima̱k nitak fehna kʋn ạ̉nạ kẖạrj Ny teninao Jehovah Izay ianaranay Wśród nocnej ciszy Sen men bilan birgasan Гимн Небес lạ ykwn ẓlạm Мөнхийн улсад орох
Song not available - connect to internet to try again?