Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Нажоткорим Исо Fiadanana be 从早到晚 Masixsiz men xech kimman Дом dy ạ̹ydyk mḥạwṭạny You are God alone Ай-ааламды, жер жүзүн Měl srdce jsem černé jak noc О Вседержитель Бог Царь Всемогущий
Song not available - connect to internet to try again?