Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Жолугушуу менен коштошууну Лайықсың ạ̉sẖkr rby ʿly̱ ạlḥryẗ Kipahna ni eng МӘҺӘББӘТ МӘБӘДИ Oltre me Aceasta mi-e dorinta Господа восхвалю lạ mn ạ̉jl dẖạty Վստահում եմ Քեզ Ով Իմ Տեր
Song not available - connect to internet to try again?