Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.Ven con Josué a luchar يا رب يا اللي بحنانك Яшам Екмеи Бен'им ạ̹lqạʾ 1 قوزىنى جەتەكتەگەندەي Mesih İsa Dirildi ḥạn ạllqạʾ Ho così bisogno di Te إليك أرفع صلاتي Questo mio lumicino
Song not available - connect to internet to try again?