Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.ʿṭsẖạn lḥbk НЯМА НИКОЙ shān zhōng de fēi niǎo nǐ dōu zhī dào Лишь Тебя жажду المجد في الأعالي Только милостью Твоей Днес царското потомство ạsm yswʿ ạ̉ḥly̱ ạlạ̉smạʾ Mój Bóg jest źródłem ʿlwt jdạaⁿ ạ̉yhạ ạlrb
Song not available - connect to internet to try again?