Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara! Mti wake sitakana, Ni neno imara! Msalaba ndio asili ya mema, Nikatua mzigo hapo; Nina uzima, furaha daima, Njoni kafurahini papo. Kama kiti chake vivyo Ni yake ahadi, Alivyowekewa navyo Kamwe havirudi. Bwana wangu, tena Mungu Ndilo lake jina! Hataacha roho yangu Wala kunikana. Atakiri langu jina, Mbele za Babaye, Anipe pahali tena Mbinguni nikae.tạ̉mr ạlryạḥ yạ yswʿ lk ʿmry̱ Крепко люблю я Иисус Тебя Преди всичко ạ̉yhạ ạlkẖạṭy Ты благой Я слепой и сижу у дороги Навеки, навсегда Тек Танръ'я Инанъръз An Kafa Birni Dai, Ba Nan Ya Ke Ba
Song not available - connect to internet to try again?