Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina; Nategemea kwako. Usinitupe Bwana , Nipe neema yako, Ninakuamania Mwenye kuniwezesha; Shari wanikingia, Vitani wanitosha. Nakutaka Mpaji Vyote napata kwako; Niwapo muhitaji, Utanijaz vyako; Nao waangukao Wanyonge wape nguvu; Poza wauguao, Uongoze vipofu. Bwana umeniosha Moyo kwa damu yako; Neema ya kutosha Yapatikana kwako; Kwako Bwana naona Kisima cha uzima; Mwangu moyoni Bwana, Bubujika daima.Dentro me Ивээл Всичко кажи на Исуса Бога узрят только чистые сердцем Si decidiera negar mi fe Roll Over The Ocean Хушо касе ки ба машварати kl ạlly ạ̉nạ mḥtạjh ạ̹ny̱ ạ̉ḥb ạlrb Алгышлар о јүксəк, уҹа Адына
Song not available - connect to internet to try again?